Hichi ndio kikosi cha awali kinachotarajiwa kucheza na Black Sailor, hizi ni taarifa za awali za benchi la ufundi mabadiliko yeyote yanaweza kutokea kabla ya mchezo
Wachezaji wa akiba ni:
Hasham, Hussen, Khelfeni, Abdahman, Abubakar na Abdallah.
Kila la kheri katika mchezo wa leo.
Maoni
Chapisha Maoni