JEE!WAJUWA KWAMBA CHINGA WA JANG'OMBE BOYS, BIBI HILLARY CLINTON WA MAREKANI NA RAIS KENYATTA WA KENYA WAMEZALIWA SIKU MOJA?
Ndio, mtandao huu umegunduwa kwamba siku ya leo Abrahman Othman Chinga hayuko peke yake katika kusherehekea siku hiyo bali kuna watu kadhaa ambao muda huu na wao wamo katika sherehe, dua na maandilizi mengineyo ya kuadhimisha siku hio.
Pichani aliyebebwa ni Chinga na Mbebaji ni Kocha Amasha
Mtndao huu umebaini kwamba leo ndio siku ambayo mama mzaa chema wa nyota huyu alipomleta duniani baada ya kupitia ukuta wake wa ‘facebook’ na kuona maandishi ynayoashiria uwepo wa siku hii, katika ukuta wake huo ameandika hivi:
Kwa niaba ya timu nzima na wadau wote wa mtandao huu tunaungana na wote waliomtakia siku njema ya kuzaliwa.
"Happy Birthday to you"
Maoni
Chapisha Maoni