Tukiwa tunasubiria kuanza kwa mzunguko wa 3 wa Ligi kuu ya Zanzibar kwa ukanda ya Unguja, mzunguko ambao inatarajiwa kuanza tarehe 21/10/2017,ni vyema kuona orodha ya wachezaji waliouthubutu kuonyesha ubora wao wa kuzifumania nyavu za timu pinzani katika mizunguko miwili ya ligi hio iliyomalizika.
Ambapo katika mizunguko miwili ya mwanzo mshambuliaji wetu 'Super Striker' Khamis Mussa (Rais) ameingia katika orodha ya wachezaji waliozifumania nyavu za timu pinzani, angalia jadueli hii kuona majina ya wachezaji hao, idadi ya magoli na timu wanazochezea.
NA:
|
JINA LA
MCHEZAJI
|
IDADI
YA
MAGOLI |
TIMU ANAYOCHEZEA |
1
|
Nassor Ali
|
3
|
Kipanga
|
2
|
Salum Songoro
|
3
|
KVZ
|
3
|
Mudrik Muhibu
|
2
|
KMKM
|
4
|
Salum Akida
|
2
|
KMKM
|
5
|
Ali Haji Said (Zege)
|
2
|
JKU
|
6
|
Khamis Mussa (Rais)
|
1
|
J/BOYS
|
7
|
Nassor Matar
|
1
|
JKU
|
8
|
Talib Hamad
|
1
|
KIPANGA
|
9
|
Hafidh Juma Haji
|
1
|
CHUONI
|
10
|
Shomari Waziri
|
1
|
JKU
|
11
|
Daud Nyerere
|
1
|
KIPANGA
|
12
|
Hamad Mshamata
|
1
|
CHUONI
|
13
|
Charles Chinonso
|
1
|
CHUONI
|
14
|
Ibrahim Hamad Hilika
|
1
|
ZIMAMOTO
|
15
|
Idrissa Simai
|
1
|
ZIMAMOTO
|
16
|
Bakar Mashango
|
1
|
KILIMANI CITY
|
17
|
Joseph J. Kalinga
|
1
|
KILIMANI CITY
|
18
|
Abdillah Seif Bausi
|
1
|
KILIMANI CITY
|
19
|
Ali Othman
|
1
|
MAFUNZO
|
20
|
Nyange Oth. Denge
|
1
|
ZIMAMOTO
|
21
|
Abdallah Omar
|
1
|
POLISI
|
22
|
Rafael Mwambeleko
|
1
|
KVZ
|
23
|
Sultan Juma
|
1
|
KVZ
|
24
|
Abas Peter John
|
1
|
BLACK SAILORS
|
Maoni
Chapisha Maoni