Mtandao huu utazungumza na wachezaji mbali mbali wa Zanzibar Heroes kuhusiana na mchezo wa Kesho dhidi ya Kenya (Harambee Stars).
Hivyo usiache kupitia hapa Mara kwa Mara ili kujuwa, matarajio ya wachezaji kuhusu mchezo huo.
Tutakuungamisha na wafuatao:
Salula, Rais, Hilika, Sangula, Abui, Seleembe, Hazgut, Fei Toto, Wawesha, Ninja, Mshamata, Mngwali na nyota wengine wa Zanzibar Heroes.
Usipitwe mtu wangu.
Hivyo usiache kupitia hapa Mara kwa Mara ili kujuwa, matarajio ya wachezaji kuhusu mchezo huo.
Tutakuungamisha na wafuatao:
Salula, Rais, Hilika, Sangula, Abui, Seleembe, Hazgut, Fei Toto, Wawesha, Ninja, Mshamata, Mngwali na nyota wengine wa Zanzibar Heroes.
Usipitwe mtu wangu.
Maoni
Chapisha Maoni