Ukiwa wewe ni mkereketwa wa Jang'ombe Boys, jibu suala hili ili ujishindie 5,000/-.
Sualai:
Jee msimu wa ligi wa mwaka jana 2016/17 tarehe kama ya leo 24/02, timu yetu ilikuwa nafasi ya ngapi na ilikuwa na alama ngapi?
Mwisho wa kujibu ni saa tano na nusu usiku, zawadi itatolewa Mara baada atakaejibu suali hilo kwa ufasaha.
Masharti:
Zawadi itatolewa na wahudumu wa mtandao huu.
Sualai:
Jee msimu wa ligi wa mwaka jana 2016/17 tarehe kama ya leo 24/02, timu yetu ilikuwa nafasi ya ngapi na ilikuwa na alama ngapi?
Mwisho wa kujibu ni saa tano na nusu usiku, zawadi itatolewa Mara baada atakaejibu suali hilo kwa ufasaha.
Masharti:
- Kiongozi ngazi yeyote haruhusiwi kujibu.
- Wachezaji wa mwaka Jana na waliopo sasa wote wanaruhusiwa.
- Kwa asiyekuwa mchezaji ni lazima awe na kadi ya uanachama au risiti ya malipo ya uanachama.
Zawadi itatolewa na wahudumu wa mtandao huu.
Maoni
Chapisha Maoni